1
Luka MT. 8:15
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Nazo penye udongo mwema, hawa ndio ambao kwamba kwa moyo mzuri na mwema hulisikia neno, wakalishika, wakazaa kwa saburi.
Compara
Explorar Luka MT. 8:15
2
Luka MT. 8:14
Nazo zilizoangukia miibani, hawa ndio waliosikia, nao wakienda zao husongwa na shughuli, na mali, na anasa za maisha, wasizae kwa utimilifu.
Explorar Luka MT. 8:14
3
Luka MT. 8:13
Na wale juu ya mwamba ndio wale ambao, walisikiapo neno, hulipokea kwa furaha; na hawa hawana mizizi, huamini kwa kitambo, na wakati wa kujaribiwa hujitenga.
Explorar Luka MT. 8:13
4
Luka MT. 8:25
Akawaambia, Imani yenu iko wapi? Wakaogopa, wakastaajabu, wakasemezana, Huyu ni nani, bassi, kwa kuwa hatta upepo na bahari aviamuru vikamtii?
Explorar Luka MT. 8:25
5
Luka MT. 8:12
Na wale wa njiani, ndio wasikiao, ndipo huja Shetani na kulitoa lile neno mioyoni mwao, illi wasije wakaamini, wakaokoka.
Explorar Luka MT. 8:12
6
Luka MT. 8:17
Kwa maana hakuna neno lililostirika ambalo halitakuwa dhabiri, wala neno lililofichwa ambalo halitajulikana, na kutokea wazi.
Explorar Luka MT. 8:17
7
Luka MT. 8:47-48
Yule mwanamke alipoona ya kuwa hakustirika, akaja akitetemeka, akamwangukia, akamweleza mbele ya watu wote sababu hatta akamgusa, na jinsi alivyoponywa marra moja. Akamwambia. Jipe moyo mkuu, binti, imani yako imekuponya; enenda zako kwa amani.
Explorar Luka MT. 8:47-48
8
Luka MT. 8:24
Wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Mwalimu, Mwalimu, tunaangamia. Akaondoka, akaukemea upepo, na msukosuko wa maji, vikakoma, kukawa shwari.
Explorar Luka MT. 8:24
Inici
La Bíblia
Plans
Vídeos