1
Mattayo MT. 12:36-37
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Bassi, nawaambieni, Killa neno lisilo maana, watakalolisema wana Adamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu. Maana kwa maneno yako utapewa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
Compara
Explorar Mattayo MT. 12:36-37
2
Mattayo MT. 12:34
Uzao wa nyoka, mwawezaje kusema mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.
Explorar Mattayo MT. 12:34
3
Mattayo MT. 12:35
Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa mema: na mtu mbaya katika hazina yake mbaya hutoa mabaya
Explorar Mattayo MT. 12:35
4
Mattayo MT. 12:31
Kwa sababu hii nawaambieni, Killa dhambi na killa neno la kufuru watasamehewa wana Adamu, bali kumtukana Roho hawatasamehewa wana Adamu.
Explorar Mattayo MT. 12:31
5
Mattayo MT. 12:33
Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; au ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake mabaya, kwa maana kwa matunda yake mti hujulikana.
Explorar Mattayo MT. 12:33
Inici
La Bíblia
Plans
Vídeos