1
Matendo 4:12
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Wala hakuna wokofu katika mwingine aliye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wana Adamu litupasalo kuokolewa nalo.
Porovnat
Zkoumat Matendo 4:12
2
Matendo 4:31
Hatta walipokwisha kumwomba Mungu, pahali paie walipokusanyika pakatikiswa, wote wakajaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la Mungu kwa uthabiti.
Zkoumat Matendo 4:31
3
Matendo 4:29
Bassi sasa, Bwana, yaangalie maogofya yao; ukawajalie watumishi wako kunena neno lako kwa uthabiti
Zkoumat Matendo 4:29
4
Matendo 4:11
Yeye ndiye jiwe lile lililodharauliwa na ninyi waashi, nalo limewekwa kuwa jiwe kuu la pembeni.
Zkoumat Matendo 4:11
5
Matendo 4:13
Bassi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kujua ya kuwa ni watu wasio elimu, wasio maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.
Zkoumat Matendo 4:13
6
Matendo 4:32
Na jamii ya watu walioamini walikuwa moyo mmoja na roho moja: wala hapana mmoja aliyesema ya kuwa kitu cho chote alicho nacho ni mali yake mwenyewe; bali walikuwa na vitu vyote shirika.
Zkoumat Matendo 4:32
Domů
Bible
Plány
Videa