1
Mwanzo 40:8
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Wakamjibu, “Tuna huzuni kwa kuwa tumeota ndoto na hakuna awezaye kututafsiria ndoto zetu.” Yosefu akawaambia, “Je, kutafsiri ndoto si kazi ya Mungu? Basi, niambieni ndoto zenu.”
Sammenlign
Udforsk Mwanzo 40:8
2
Mwanzo 40:23
Hata hivyo, yule mtunza vinywaji mkuu akamsahau Yosefu, badala ya kumkumbuka.
Udforsk Mwanzo 40:23