לוגו של YouVersion
כתבי הקודשתכניותקטעי וידאו
הורד את האפליקציה
בורר שפה
סמל חיפוש

פסוקים פופולריים מ- Luka 16

1

Luka 16:10

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Yeyote aliye mwaminifu katika mambo madogo, atakuwa mwaminifu katika mambo makubwa; na yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa.

השווה

חקרו Luka 16:10

2

Luka 16:13

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

“Hakuna mtumishi awezaye kuwatumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au ataambatana na mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali pamoja.”

השווה

חקרו Luka 16:13

3

Luka 16:11-12

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Kama basi, nyinyi si waaminifu kuhusu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli? Na kama nyinyi si waaminifu kuhusu mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?

השווה

חקרו Luka 16:11-12

4

Luka 16:31

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Naye Abrahamu akasema: ‘Kama hawawasikilizi Mose na manabii, hawatajali hata kama mtu angefufuka kutoka kwa wafu.’”

השווה

חקרו Luka 16:31

5

Luka 16:18

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

“Yeyote anayempa mkewe talaka na kuoa mwingine, anazini; na yeyote anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.

השווה

חקרו Luka 16:18

לפרק הקודם
לפרק הבא
YouVersion

מעודד ומאתגר אתכם לקשר הדוק עם אלוהים בכל יום.

מִשׂרָד

אודות

קריירה

התנדב

בלוג

לחץ

קישורים שימושיים

עזרה

תרום

גרסאות הכתובים

אודיו הכתובים

שפות התנ"ך

הפסוק של היום


משרד דיגיטלי של

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

מדיניות פרטיותתנאים
תוכנית לגילוי חולשות אחראי
פייסבוקטוויטראינטגרםיוטיובפינטרסט

בית

כתבי הקודש

תכניות

קטעי וידאו