1
Luka 9:23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Kisha Yesu akamwambia kila mmoja aliyekuwa pale, “Mtu yeyote miongoni mwenu akitaka kuwa mfuasi wangu ni lazima ajikane yeye mwenyewe na mambo anayopenda. Ni lazima uubebe msalaba unaotolewa kwako kila siku kwa sababu ya kunifuata mimi.
Համեմատել
Ուսումնասիրեք Luka 9:23
2
Luka 9:24
Yeyote miongoni mwenu anayetaka kuyaponya maisha yake atayaangamiza. Lakini yeyote atakayeyatoa maisha yake kwa ajili yangu atayaokoa.
Ուսումնասիրեք Luka 9:24
3
Luka 9:62
Yesu akamwambia, “Mtu yeyote anayeanza kulima, kisha akaangalia nyuma hajajiandaa kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.”
Ուսումնասիրեք Luka 9:62
4
Luka 9:25
Haina thamani kwenu kuupata ulimwengu wote ikiwa ninyi wenyewe mtateketezwa au kupoteza kila kitu.
Ուսումնասիրեք Luka 9:25
5
Luka 9:26
Msione aibu kwa sababu ya kunifuata na kusikiliza mafundisho yangu. Mkifanya hivyo, Mimi, Mwana wa Adamu, nitawaonea aibu nitakapokuja nikiwa na utukufu wangu, utukufu wa Baba na wa malaika watakatifu.
Ուսումնասիրեք Luka 9:26
6
Luka 9:58
Yesu akamwambia, “Mbweha wana mapango na ndege wa angani wana viota. Lakini Mwana wa Adamu hana mahali pa kulaza kichwa chake.”
Ուսումնասիրեք Luka 9:58
7
Luka 9:48
Kisha akawaambia, “Yeyote anayemkaribisha mtoto mdogo kama huyu kwa jina langu ananikaribisha mimi. Na yeyote anayenikaribisha mimi anamkaribisha yule aliyenituma. Aliye mnyenyekevu zaidi miongoni mwenu, ndiye mkuu.”
Ուսումնասիրեք Luka 9:48
Գլխավոր
Աստվածաշունչ
Ծրագրեր
Տեսանյութեր