Logo YouVersion
AlkitabRencanaVideo
Dapatkan Aplikasinya
Pemilih Bahasa
Ikon Pencarian

Ayat-ayat Alkitab Ternama dari Mattayo MT. 12

1

Mattayo MT. 12:36-37

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Bassi, nawaambieni, Killa neno lisilo maana, watakalolisema wana Adamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu. Maana kwa maneno yako utapewa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.

Bandingkan

Telusuri Mattayo MT. 12:36-37

2

Mattayo MT. 12:34

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Uzao wa nyoka, mwawezaje kusema mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.

Bandingkan

Telusuri Mattayo MT. 12:34

3

Mattayo MT. 12:35

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa mema: na mtu mbaya katika hazina yake mbaya hutoa mabaya

Bandingkan

Telusuri Mattayo MT. 12:35

4

Mattayo MT. 12:31

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Kwa sababu hii nawaambieni, Killa dhambi na killa neno la kufuru watasamehewa wana Adamu, bali kumtukana Roho hawatasamehewa wana Adamu.

Bandingkan

Telusuri Mattayo MT. 12:31

5

Mattayo MT. 12:33

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; au ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake mabaya, kwa maana kwa matunda yake mti hujulikana.

Bandingkan

Telusuri Mattayo MT. 12:33

Rencana Bacaan dan Renungan gratis terkait dengan Mattayo MT. 12

Pasal Sebelumnya
Pasal Berikutnya
YouVersion

Mendorong dan menantang Anda mencari keintiman dengan Tuhan setiap hari.

Pelayanan

Tentang

Karier

Sukarelawan

Blog

Pers

Tautan Berguna

Bantuan

Sumbang

Versi Alkitab

Alkitab Audio

Bahasa Alkitab

Ayat Hari Ini


Pelayanan Digital dari

Life.Church
Bahasa Indonesia

©2026 Life.Church / YouVersion

Kebijakan PrivasiSyarat
Program Pengungkapan Kerentanan
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Beranda

Alkitab

Rencana

Video