1
Mathayo 4:4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu akajibu, “Maandiko yanasema, ‘Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila Neno linalotoka katika kinywa cha Mungu.’”
Confronta
Esplora Mathayo 4:4
2
Mathayo 4:10
Yesu akamjibu Shetani akamwambia, “Ondoka kwangu Shetani! Kwani Maandiko yanasema, ‘Umwabudu Bwana Mungu wako na umtumikie yeye peke yake!’”
Esplora Mathayo 4:10
3
Mathayo 4:7
Yesu akamjibu, “Pia, Maandiko yanasema, ‘usimjaribu Bwana Mungu wako.’”
Esplora Mathayo 4:7
4
Mathayo 4:1-2
Kisha Roho Mtakatifu akamwongoza Yesu hadi nyikani ili akajaribiwe na Shetani. Baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini mchana na usiku, akaumwa njaa sana.
Esplora Mathayo 4:1-2
5
Mathayo 4:19-20
Yesu akawaambia, “Njooni, mnifuate, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa aina nyingine. Nitawafundisha jinsi ya kukusanya watu badala ya samaki.” Mara moja, Simoni na Andrea wakaziacha nyavu zao na kumfuata Yesu papo hapo.
Esplora Mathayo 4:19-20
6
Mathayo 4:17
Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaambia watu ujumbe wake unaosema, “Mbadili mioyo yenu na maisha yenu pia, kwa sababu Ufalme wa Mungu umewafikia.”
Esplora Mathayo 4:17
Home
Bibbia
Piani
Video