1
Yohane 3:16
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uhai wa milele.
Confronta
Esplora Yohane 3:16
2
Yohane 3:17
Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe.
Esplora Yohane 3:17
3
Yohane 3:3
Yesu akamwambia, “Kweli nakuambia, mtu asipozaliwa tena hataweza kuuona ufalme wa Mungu.”
Esplora Yohane 3:3
4
Yohane 3:18
“Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa, kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
Esplora Yohane 3:18
5
Yohane 3:19
Na hukumu yenyewe ndiyo hii: Mwanga umekuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko mwanga, kwani matendo yao ni maovu.
Esplora Yohane 3:19
6
Yohane 3:30
Ni lazima yeye azidi kuwa maarufu, na mimi nipungue.”
Esplora Yohane 3:30
7
Yohane 3:20
Kila mtu atendaye maovu anauchukia mwanga, wala haji kwenye mwanga, maana hapendi matendo yake maovu yamulikwe.
Esplora Yohane 3:20
8
Yohane 3:36
Anayemwamini Mwana anao uhai wa milele; asiyemwamini Mwana hatakuwa na uhai wa milele, bali ghadhabu ya Mungu hubaki juu yake.
Esplora Yohane 3:36
9
Yohane 3:14
“Kama vile Mose alivyomwinua juu nyoka wa shaba kule jangwani, naye Mwana wa Mtu atainuliwa juu vivyo hivyo
Esplora Yohane 3:14
10
Yohane 3:35
Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote.
Esplora Yohane 3:35
Home
Bibbia
Piani
Video