1
Yoane 3:16
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Kwa maana Mungu alipenda sana ulimwengu hata kumutoa Mwana wake wa pekee, kusudi kila mutu anayemwamini asipotee, lakini apate uzima wa milele.
比較
Yoane 3:16で検索
2
Yoane 3:17
Mungu hakumutuma Mwana wake katika ulimwengu kusudi ahukumu ulimwengu, lakini kusudi ulimwengu uokolewe naye.
Yoane 3:17で検索
3
Yoane 3:3
Yesu akamujibu: “Kweli, kweli ninakuambia: mutu hawezi kuingia katika Ufalme wa Mungu asipozaliwa mara ya pili.”
Yoane 3:3で検索
4
Yoane 3:18
Anayemwamini Mwana hahukumiwi, lakini asiyemwamini amekwisha kuhukumiwa, kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
Yoane 3:18で検索
5
Yoane 3:19
Hukumu inatokana na hivi: mwangaza umekuja katika ulimwengu, lakini watu wanapenda giza kuliko mwangaza, kwa sababu matendo yao ni mabaya.
Yoane 3:19で検索
6
Yoane 3:30
Sherti utukufu wake uzidi na wangu upunguke.
Yoane 3:30で検索
7
Yoane 3:20
Kila mutu anayefanya mabaya anachukia mwangaza, naye anakataa kuja kwenye mwangaza, kusudi matendo yake yasionekane wazi.
Yoane 3:20で検索
8
Yoane 3:36
Anayemwamini Mwana yuko na uzima wa milele. Anayekataa kumwamini Mwana hatapata uzima; atakaa akipatwa na kasirani ya Mungu.”
Yoane 3:36で検索
9
Yoane 3:14
Sawa Musa alivyonyanyua nyoka ya shaba juu ya muti katika jangwa, ni hivi vilevile, sherti Mwana wa Mutu anyanyuliwe
Yoane 3:14で検索
10
Yoane 3:35
Baba anamupenda Mwana wake, naye ameweka vitu vyote kwa mukono wake.
Yoane 3:35で検索
ホーム
聖書
読書プラン
ビデオ