1
Mattayo MT. 4:4
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, illa kwa killa neno litokalo katika kinywa cha Mungu.
ತಾಳೆಮಾಡಿ
Mattayo MT. 4:4 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
2
Mattayo MT. 4:10
Ndipo Yesu akamwambia, Nenda zako, Shetani: kwa maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.
Mattayo MT. 4:10 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
3
Mattayo MT. 4:7
Yesu akamwambia. Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
Mattayo MT. 4:7 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
4
Mattayo MT. 4:1-2
NDIPO Yesu alipopandishwa na Roho hatta jangwani, illi ajaribiwe na Shetani. Akafunga siku arubaini mchana na usiku, baadae akaona njaa.
Mattayo MT. 4:1-2 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
5
Mattayo MT. 4:19-20
Akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wii watu. Marra wakaziacha nyavu, wakamfuata.
Mattayo MT. 4:19-20 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
6
Mattayo MT. 4:17
Tokea wakati huo Yesu akaanza kukhubiri, na kusema, Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia.
Mattayo MT. 4:17 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
ಮುಖಪುಟ
ಬೈಬಲ್
ಯೋಜನೆಗಳು
ವೀಡಿಯೊಗಳು