1
Yohana 12:26
Swahili Revised Union Version
Mtu akinitumikia, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.
비교
Yohana 12:26 살펴보기
2
Yohana 12:25
Yeye aipendaye nafsi yake ataiangamiza; naye aichukiaye nafsi yake katika ulimwengu huu ataisalimisha hata uzima wa milele.
Yohana 12:25 살펴보기
3
Yohana 12:24
Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.
Yohana 12:24 살펴보기
4
Yohana 12:46
Mimi nimekuja ili niwe nuru ya ulimwengu, ili kila mtu aniaminiye mimi asikae gizani.
Yohana 12:46 살펴보기
5
Yohana 12:47
Na mtu akiyasikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, ila niuokoe ulimwengu.
Yohana 12:47 살펴보기
6
Yohana 12:3
Basi Mariamu akatwaa ratili ya marhamu ya nardo safi yenye thamani nyingi, akampaka Yesu miguu, akamfuta miguu kwa nywele zake. Nayo nyumba pia ikajaa harufu ya marhamu.
Yohana 12:3 살펴보기
7
Yohana 12:13
wakatwaa matawi ya mitende, wakatoka nje kwenda kumlaki, wakapiga makelele, Hosana! Ndiye mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana, Mfalme wa Israeli!
Yohana 12:13 살펴보기
8
Yohana 12:23
Naye Yesu akawajibu, akasema, Saa imefika atukuzwe Mwana wa Adamu.
Yohana 12:23 살펴보기
홈
성경
묵상
동영상