1
Luka 23:34
Swahili Revised Union Version
Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. Wakagawa mavazi yake, wakipiga kura.
비교
Luka 23:34 살펴보기
2
Luka 23:43
Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.
Luka 23:43 살펴보기
3
Luka 23:42
Kisha akasema, Ee Yesu, nikumbuke utakapoingia katika ufalme wako.
Luka 23:42 살펴보기
4
Luka 23:46
Yesu akalia kwa sauti kuu, akasema, Ee Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu.
Luka 23:46 살펴보기
5
Luka 23:33
Na walipofika mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, ndipo walipomsulubisha yeye, na wale wahalifu, mmoja upande wa kulia, na mmoja upande wa kushoto.
Luka 23:33 살펴보기
6
Luka 23:44-45
Hapo ilikuwa yapata saa sita, kukawa giza juu ya nchi yote hadi saa tisa, jua limepungua nuru yake; pazia la hekalu likapasuka katikati.
Luka 23:44-45 살펴보기
7
Luka 23:47
Alipokwisha kusema hayo alikata roho. Yule jemadari alipoona yaliyotukia, alimtukuza Mungu, akisema, Hakika yake, mtu huyu alikuwa mwenye haki.
Luka 23:47 살펴보기
홈
성경
묵상
동영상