1
Mwanzo 16:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi, Hagari akamupa Yawe aliyezungumuza naye kule jina la “Wewe ni Mungu Anayeona,” kwa maana alifikiri: “Kweli hapa nimemwona yeye anayeniona?”
Salīdzināt
Izpēti Mwanzo 16:13
2
Mwanzo 16:11
Kisha huyo malaika wa Yawe akamwambia: “Wewe una mimba na utazaa mutoto mwanaume; utamwita Isimaeli, maana Yawe ameyaona mateso yako.
Izpēti Mwanzo 16:11
3
Mwanzo 16:12
Isimaeli ataishi kama punda wa pori. Atapigana na kila mutu na kila mutu atapigana naye. Ataishi peke yake, akijitenga na watu wa jamaa yake.”
Izpēti Mwanzo 16:12
Mājas
Bībele
Plāni
Video