1
Mwanzo 9:12-13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Tena Mungu akasema: “Hiki ndicho kitambulisho cha agano ninalofanya kati yangu nanyi na kila kiumbe chenye uzima kinachokuwa pamoja nanyi kwa vizazi vyote vinavyokuja: ninaweka upinde wangu katika mawingu, nao utakuwa kitambulisho cha agano kati yangu na dunia.
Salīdzināt
Izpēti Mwanzo 9:12-13
2
Mwanzo 9:16
Huo upinde utakapotokea katika mawingu, nitauona na kukumbuka agano hilo la milele kati yangu na viumbe vyote vyenye uzima katika dunia.”
Izpēti Mwanzo 9:16
3
Mwanzo 9:6
Anayemwanga damu ya mwanadamu, damu yake itamwangwa na mwanadamu; maana mwanadamu aliumbwa kwa mufano wa Mungu.
Izpēti Mwanzo 9:6
4
Mwanzo 9:1
Mungu akamubariki Noa na wana wake, akiwaambia: “Muzae, muongezeke, mujaze inchi.
Izpēti Mwanzo 9:1
5
Mwanzo 9:3
Nyama wote wenye uzima watakuwa chakula chenu; ninawapa nyama hao kama vile nilivyowapa mimea kuwa chakula chenu.
Izpēti Mwanzo 9:3
6
Mwanzo 9:2
Nyama wote, ndege wote wa anga, viumbe vyote vinavyotambaa juu ya inchi na samaki wote wa bahari watakuwa na hofu na kuwaogopa ninyi. Wote wamewekwa chini ya mamlaka yenu.
Izpēti Mwanzo 9:2
7
Mwanzo 9:7
Nanyi muzae, mwongezeke, muzae kwa wingi, mwongezeke katika inchi.”
Izpēti Mwanzo 9:7
Mājas
Bībele
Plāni
Video