1
1 Mose 3:6
Swahili Roehl Bible 1937
Mwanamke alipoutazama huo mti akauona kuwa mwema wa kula, hata wa kuyapendeza macho, tena akauona, ya kuwa unapasa kutamaniwa kwa kuerevusha; ndipo, alipochuma tunda mojamoja, akala, akampa hata mumewe, naye akala.
तुलना करा
एक्सप्लोर करा 1 Mose 3:6
2
1 Mose 3:1
Nyoka alikuwa mjanja kuliko nyama wote wa porini, Bwana Mungu aliowafanya. Naye akamwambia mwanamke: Kumbe Mungu amewakataza kuila miti yote iliyomo humu shambani?
एक्सप्लोर करा 1 Mose 3:1
3
1 Mose 3:15
Na niwachochee, mchukizane, wewe na huyu mwanamke, uzao wako na uzao wake, huyo atakuponda kichwa, nawe utamwuma kisigino.
एक्सप्लोर करा 1 Mose 3:15
4
1 Mose 3:16
Kisha akamwambia mwanamke: Nitakupatia maumivu mengi, utakapopata mimba, itakuwa kwa machngu mengi, ukizaa watoto; ijapo yawe hivyo, utamtamani mumeo, naye atakutawala.
एक्सप्लोर करा 1 Mose 3:16
5
1 Mose 3:19
Kwa jasho la uso wako utakula chakula, mpaka utakaporudi mchangani, kwani ndimo, ulimochukuliwa, kwani ndiwe mavumbi wewe, nayo mavumbi ndiyo, utakayokuwa tena.
एक्सप्लोर करा 1 Mose 3:19
6
1 Mose 3:17
Adamu naye akamwambia: Kwa kuwa umeiitikia sauti ya mkeo, ukaula ule mti, niliokuagiza kwamba: Usiule! nchi imeapizwa kwa ajili yako, uile na kuona uchungu siku zako zote za kuwapo.
एक्सप्लोर करा 1 Mose 3:17
7
1 Mose 3:11
Akasema: Ni nani aliyekuambia, ya kuwa wewe u mwenye uchi? Hukuula ule mti, niliokukataza, usiule?
एक्सप्लोर करा 1 Mose 3:11
8
1 Mose 3:24
Ndiyo sababu, aliyomfukuzia Adamu, nao upande wa maawioni kwa jua wa shamba la Edeni akaweka Makerubi wenye panga zimulikazo moto pande zote, wailinde njia iendayo kwenye mti wa uzima.
एक्सप्लोर करा 1 Mose 3:24
9
1 Mose 3:20
Adamu akamwita mkewe jina lake Ewa, kwa kuwa ndiye mama yao wote walio hai.
एक्सप्लोर करा 1 Mose 3:20
मुख्य
बायबल
योजना
व्हिडिओ