1
Yohane 13:34-35
Biblia Habari Njema
Nawapeni amri mpya: Pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda nyinyi. Mkipendana, watu wote watajua kwamba nyinyi ni wanafunzi wangu.”
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Yohane 13:34-35
2
Yohane 13:14-15
Basi, ikiwa mimi niliye Bwana na Mwalimu nimewaosha nyinyi miguu, nanyi pia mnapaswa kuoshana miguu. Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.
अन्वेषण गर्नुहोस् Yohane 13:14-15
3
Yohane 13:7
Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Yohane 13:7
4
Yohane 13:16
Kweli nawaambieni, mtumishi si mkuu kuliko bwana wake, wala mtume si mkuu kuliko yule aliyemtuma.
अन्वेषण गर्नुहोस् Yohane 13:16
5
Yohane 13:17
Basi, ikiwa mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza.
अन्वेषण गर्नुहोस् Yohane 13:17
6
Yohane 13:4-5
Basi, aliondoka mezani, akaweka kando vazi lake, akachukua kitambaa na kujifunga kiunoni. Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi wake miguu na kuipangusa kwa kile kitambaa alichojifungia.
अन्वेषण गर्नुहोस् Yohane 13:4-5
होम
बाइबल
योजनाहरू
भिडियोहरू