1
Yohana 1:12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Lakini baadhi ya watu walimkubali wakamwamini na akawapa haki ya kuwa watoto wa Mungu.
Sammenlign
Utforsk Yohana 1:12
2
Yohana 1:1
Mwanzoni Kabla ulimwengu haujaumbwa alikuwepo Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, na Neno alikuwa Mungu.
Utforsk Yohana 1:1
3
Yohana 1:5
Nuru hiyo yamulika gizani, na giza halikuishinda.
Utforsk Yohana 1:5
4
Yohana 1:14
Neno akafanyika kuwa mwanadamu na akaishi pamoja nasi. Tuliouna ukuu wa uungu wake; utukufu alionao Mwana pekee wa Baba.
Utforsk Yohana 1:14
5
Yohana 1:3-4
Kila kitu kilifanyika kupitia kwake. Hakuna chochote katika uumbaji wa Mungu kilichofanyika bila yeye. Ndani yake Neno kulikuwemo na uzima, na uzima huo ulikuwa nuru kwa ajili ya watu wa ulimwenguni.
Utforsk Yohana 1:3-4
6
Yohana 1:29
Siku iliyofuata Yohana akamwona Yesu akija kwake na kusema, “Tazama, Mwanakondoo wa Mungu mwenye kuondoa dhambi za ulimwengu.”
Utforsk Yohana 1:29
7
Yohana 1:10-11
Huyo Neno alikuwapo tayari ulimwenguni. Ulimwengu uliumbwa kupitia yeye, lakini ulimwengu haukumkubali. Alikuja kwa ulimwengu ulio wake, na watu wake mwenyewe hawakumkubali.
Utforsk Yohana 1:10-11
8
Yohana 1:9
Nuru ya kweli, anayeleta mwangaza kwa watu wote, alikuwa tayari kuonekana kwa ulimwengu.
Utforsk Yohana 1:9
9
Yohana 1:17
Hiyo ni kusema kuwa, sheria ililetwa kwetu kupitia Musa. Lakini neema na kweli imekuja kupitia Yesu Kristo.
Utforsk Yohana 1:17
Hjem
Bibel
Leseplaner
Videoer