YouVersion logo
BibelLeseplanerVideoer
Få appen
Språkvelger
Søkeikon

Populære bibelvers fra Mwanzo 11

1

Mwanzo 11:6-7

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Mwenyezi-Mungu akasema, “Tazama, watu hawa ni taifa moja na wote wana lugha moja; huu ni mwanzo tu wa yale watakayoyafanya. Lolote wanalokusudia kulifanya watafanikiwa. Haya, na tushuke chini na kuivuruga lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.”

Sammenlign

Utforsk Mwanzo 11:6-7

2

Mwanzo 11:4

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Wakasema, “Na tujijengee mji na mnara ambao kilele chake kitafika mbinguni ili tujipatie jina, tusije tukatawanyika duniani kote.”

Sammenlign

Utforsk Mwanzo 11:4

3

Mwanzo 11:9

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Mji huo ukaitwa Babeli, kwa sababu huko ndiko Mwenyezi-Mungu alikoivuruga lugha ya dunia yote, na kutoka huko akawatawanya watu kila mahali duniani.

Sammenlign

Utforsk Mwanzo 11:9

4

Mwanzo 11:1

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Kwanza, watu wote duniani walikuwa na lugha moja na walitumia maneno yaleyale.

Sammenlign

Utforsk Mwanzo 11:1

5

Mwanzo 11:5

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Ndipo Mwenyezi-Mungu akashuka chini kuuona mji huo na mnara walioujenga binadamu.

Sammenlign

Utforsk Mwanzo 11:5

6

Mwanzo 11:8

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Hivyo, Mwenyezi-Mungu akawatawanya mahali pote duniani, nao wakaacha kuujenga ule mji.

Sammenlign

Utforsk Mwanzo 11:8

Forrige kapittel
Neste kapittel
YouVersion

Oppmuntrer og utfordrer deg til å søke nærhet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Frivillig

Blogg

Presse

Nyttige lenker

Hjelp

Gi

Bibeloversettelser

Lydbibler

Bibelspråk

Dagens bibelvers


En digital tjeneste av

Life.Church
Norsk

©2026 Life.Church / YouVersion

PersonvernerklæringVilkår
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest