1
Mwanzo 7:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Yawe akamwambia Noa: “Ingia ndani ya chombo wewe pamoja na jamaa yako yote, kwa maana, kati ya watu wote wa kizazi hiki, nimekuona wewe peke yako kuwa mutu wa haki mbele yangu.
Porównaj
Przeglądaj Mwanzo 7:1
2
Mwanzo 7:24
Maji hayo yalidumu katika inchi siku mia moja na makumi tano.
Przeglądaj Mwanzo 7:24
3
Mwanzo 7:11
Noa alipokuwa na umri wa miaka mia sita, katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili, siku hiyo chemichemi zote za vilindi vya udongo zikabubujika maji, na madirisha ya mbinguni yakafunguka.
Przeglądaj Mwanzo 7:11
4
Mwanzo 7:23
Mungu akaangamiza kila kiumbe kilichokuwa na pumzi ya uzima katika dunia: wanadamu, nyama, viumbe vinavyotambaa na ndege wa anga. Vyote viliangamizwa katika dunia. Noa tu ndiye aliyebaki na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya chombo.
Przeglądaj Mwanzo 7:23
5
Mwanzo 7:12
Mvua ikanyesha juu ya inchi siku makumi ine, muchana na usiku.
Przeglądaj Mwanzo 7:12
YouVersion używa plików cookie, aby spersonalizować twoje doświadczenia. Korzystając z naszej strony, wyrażasz zgodę na używanie przez nas plików cookie zgodnie z naszą Polityką prywatności
Strona główna
Biblia
Plany
Nagrania wideo