1
Yohana 11:25-26
BIBLIA KISWAHILI
Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, hata akifa, atakuwa anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?
Porównaj
Przeglądaj Yohana 11:25-26
2
Yohana 11:40
Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?
Przeglądaj Yohana 11:40
3
Yohana 11:35
Yesu akalia machozi.
Przeglądaj Yohana 11:35
4
Yohana 11:4
Naye Yesu aliposikia, alisema, Ugonjwa huu si wa mauti, bali ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu, ili Mwana wa Mungu atukuzwe kwa huo.
Przeglądaj Yohana 11:4
5
Yohana 11:43-44
Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje. Akatoka nje yule aliyekufa, akiwa amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.
Przeglądaj Yohana 11:43-44
6
Yohana 11:38
Basi Yesu, akiwa na huzuni tena moyoni mwake, akafika kwenye kaburi. Nalo lilikuwa ni pango, na jiwe limewekwa juu yake.
Przeglądaj Yohana 11:38
7
Yohana 11:11
Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.
Przeglądaj Yohana 11:11
Strona główna
Biblia
Plany
Nagrania wideo