← Mipango
Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Rum 5:1
![Siku Saba Za Kufanya Sala Wakati Upitiapo Majonzi](/_next/image?url=https%3A%2F%2F%2F%2Fimageproxy.youversionapistaging.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans-staging%2F35333%2F640x360.jpg&w=1920&q=75)
Siku Saba Za Kufanya Sala Wakati Upitiapo Majonzi
Siku 7
Siku 7 za Sala zimeundwa kwa minajili ya kuimarisha roho yako na kuhimiza moyo wako wakati upitiapo majonzi. Kila siku inajumuisha sala utakayofanya wewe au kutumia kama msingi wa maombi yako kuhusu mada ya siku hiyo ili kupata nafuu kutokana na majonzi. Katika siku hizi 7 utapata tumaini kutoka kwenye Neno la Mungu na kutiwa moyo kwa kujua kwamba upendo wake na faraja ni zako katika hali yoyote.