1
1 Wathesalonike 4:17
Neno: Bibilia Takatifu
Baada ya hilo sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu ili kumlaki Bwana hewani, hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.
Linganisha
Chunguza 1 Wathesalonike 4:17
2
1 Wathesalonike 4:16
Kwa maana Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni, akitoa amri kwa sauti kuu, pamoja na sauti ya malaika mkuu, na sauti ya tarumbeta ya Mungu. Nao waliokufa wakiwa katika Kristo watafufuka kwanza.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:16
3
1 Wathesalonike 4:3-4
Mapenzi ya Mungu ni kwamba ninyi mtakaswe, ili kwamba mjiepushe na zinaa, ili kwamba kila mmoja wenu ajifunze kuutawala mwili wake mwenyewe katika utakatifu na heshima
Chunguza 1 Wathesalonike 4:3-4
4
1 Wathesalonike 4:14
Kwa kuwa tunaamini kwamba Yesu alikufa na kufufuka, na kwa hivyo, Mungu kwa njia ya Yesu atawafufua pamoja naye wale waliolala mautini ndani yake.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:14
5
1 Wathesalonike 4:11
Jitahidini kuishi maisha ya utulivu, kila mtu akijishughulisha na mambo yake mwenyewe na kufanya kazi kwa mikono yake, kama vile tulivyowaagiza
Chunguza 1 Wathesalonike 4:11
6
1 Wathesalonike 4:7
Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video