1
2 Wafalme 13:21
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Ikawa Waisraeli fulani walipokuwa wanamzika mtu, ghafula wakaona kikosi cha washambuliaji, basi wakaitupa ile maiti ya yule mtu ndani ya kaburi la Al-Yasa. Ile maiti ilipogusa mifupa ya Al-Yasa, yule mtu akafufuka na kusimama kwa miguu yake.
Linganisha
Chunguza 2 Wafalme 13:21
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video