1
2 Wathesalonike 1:11
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Kwa sababu hii, tunawaombea ninyi bila kukoma, ili Mungu wetu apate kuwahesabu kuwa mnastahili wito wake na kwamba kwa uwezo wake apate kutimiza kila kusudi lenu jema na kila tendo linaloongozwa na imani yenu.
Linganisha
Chunguza 2 Wathesalonike 1:11
2
2 Wathesalonike 1:6-7
Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wanaowatesa ninyi, na kuwapa ninyi mnaoteseka amani pamoja na sisi, wakati Bwana Isa atadhihirishwa kutoka mbinguni katika mwali wa moto pamoja na malaika wake wenye nguvu.
Chunguza 2 Wathesalonike 1:6-7
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video