1
Matendo 12:5
Neno: Bibilia Takatifu
Kwa hiyo Petro akawekwa gerezani, lakini kanisa lilikuwa likimwombea kwa Mungu kwa bidii.
Linganisha
Chunguza Matendo 12:5
2
Matendo 12:7
Ghafula malaika wa Bwana akatokea na nuru ikamulika mle ndani ya gereza. Yule malaika akampiga Petro ubavuni na kumwamsha, akisema, “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo ikaanguka kutoka mikononi mwa Petro.
Chunguza Matendo 12:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video