1
Ezekieli 16:49
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
“ ‘Sasa hii ndiyo ilikuwa dhambi ya dada yako Sodoma: yeye na binti zake walikuwa wenye kujigamba, walafi na wasiojali; hawakuwasaidia maskini na wahitaji.
Linganisha
Chunguza Ezekieli 16:49
2
Ezekieli 16:60
Lakini nitakumbuka agano nililolifanya nawe wakati wa ujana wako, nami nitaweka nawe agano imara la milele.
Chunguza Ezekieli 16:60
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video