1
Ezekieli 5:11
Neno: Bibilia Takatifu
Kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema BWANA Mwenyezi, kwa kuwa mmenajisi mahali pangu patakatifu kwa sanamu zenu mbaya sana na desturi zenu za machukizo, mimi mwenyewe nitaondoa fadhili zangu kwenu.
Linganisha
Chunguza Ezekieli 5:11
2
Ezekieli 5:9
Kwa ajili ya sanamu zenu zote za machukizo, nitawafanyia kile ambacho kamwe sijawafanyia kabla wala kamwe sitawafanyia tena.
Chunguza Ezekieli 5:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video