1
Zaburi 131:2
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyo ndani yangu.
Linganisha
Chunguza Zaburi 131:2
2
Zaburi 131:1
Moyo wangu hauna kiburi, Ee Mwenyezi Mungu, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
Chunguza Zaburi 131:1
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video