1
Zaburi 86:11
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Ee Mwenyezi Mungu, nifundishe njia yako, nami nitaenda katika kweli yako; nipe moyo usiositasita, ili niweze kulicha jina lako.
Linganisha
Chunguza Zaburi 86:11
2
Zaburi 86:5
Ee Bwana, wewe ni mwema na mwenye kusamehe, umejaa upendo kwa wote wakuitao.
Chunguza Zaburi 86:5
3
Zaburi 86:15
Lakini wewe, Ee Bwana, ni Mungu wa huruma na neema, si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo na uaminifu.
Chunguza Zaburi 86:15
4
Zaburi 86:12
Ee Mwenyezi Mungu, Mungu wangu, nitakusifu kwa moyo wote; nitaliadhimisha jina lako milele.
Chunguza Zaburi 86:12
5
Zaburi 86:7
Katika siku ya shida yangu nitakuita, kwa maana wewe utanijibu.
Chunguza Zaburi 86:7
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video