1
Zekaria 13:9
Neno: Bibilia Takatifu
Hii theluthi moja nitaileta katika moto; nitawasafisha kama fedha isafishwavyo na kuwajaribu kama dhahabu. Wataliitia Jina langu nami nitawajibu; nitasema, ‘Hawa ni watu wangu,’ nao watasema, ‘BWANA ni Mungu wetu.’ ”
Linganisha
Chunguza Zekaria 13:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video