1
Zekaria 4:6
Neno: Bibilia Takatifu
Kisha akaniambia, “Hili ni neno la BWANA kwa Zerubabeli: ‘Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa Roho yangu,’ asema BWANA Mwenye Nguvu Zote.
Linganisha
Chunguza Zekaria 4:6
2
Zekaria 4:10
“Ni nani anayeidharau siku ya mambo madogo? Watu watashangilia watakapoona timazi mkononi mwa Zerubabeli. “(Hizi saba ni macho ya BWANA ambayo huzunguka duniani kote.)”
Chunguza Zekaria 4:10
3
Zekaria 4:9
“Mikono ya Zerubabeli iliweka msingi wa Hekalu hili, mikono yake pia italimalizia. Kisha mtajua ya kuwa BWANA Mwenye Nguvu Zote amenituma mimi kwenu.
Chunguza Zekaria 4:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video