1
1 Nya 4:10
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Huyo Yabesi akamlingana Mungu wa Israeli, akisema, Lau kwamba ungenibarikia kweli kweli, na kunizidishia hozi yangu, na mkono wako ungekuwa pamoja nami, nawe ungenilinda na uovu, ili usiwe kwa huzuni yangu! Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
Linganisha
Chunguza 1 Nya 4:10
2
1 Nya 4:9
Naye Yabesi alikuwa mwenye heshima kuliko nduguze; na mamaye akamwita jina lake Yabesi, akisema, Ni kwa sababu nalimzaa kwa huzuni.
Chunguza 1 Nya 4:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video