1
Est 1:1
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Zamani za Ahasuero; naye huyu Ahasuero alimiliki toka Bara Hindi mpaka Kushi, juu ya majimbo mia na ishirini na saba
Linganisha
Chunguza Est 1:1
2
Est 1:12
Bali Vashti, malkia, alikataa kuja kwa amri ya mfalme kwa mkono wa wasimamizi-wa-nyumba; kwa hiyo mfalme akaghadhibika sana, na hasira yake ikawaka ndani yake.
Chunguza Est 1:12
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video