1
Ebr 10:25
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.
Linganisha
Chunguza Ebr 10:25
2
Ebr 10:24
tukaangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi nzuri
Chunguza Ebr 10:24
3
Ebr 10:23
Na mlishike sana ungamo la tumaini letu, lisigeuke; maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu
Chunguza Ebr 10:23
4
Ebr 10:36
Maana mnahitaji saburi, ili kwamba mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu mpate ile ahadi.
Chunguza Ebr 10:36
5
Ebr 10:22
na tukaribie wenye moyo wa kweli, kwa utimilifu wa imani, hali tumenyunyiziwa mioyo tuache dhamiri mbaya, tumeoshwa miili kwa maji safi.
Chunguza Ebr 10:22
6
Ebr 10:35
Basi msiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kuu.
Chunguza Ebr 10:35
7
Ebr 10:26-27
Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi; bali kuna kuitazamia hukumu yenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao.
Chunguza Ebr 10:26-27
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video