1
Isa 24:5
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Tena dunia imetiwa unajisi kwa watu wanaoikaa; kwa maana wameziasi sheria, wameibadili amri, wamelivunja agano la milele.
Linganisha
Chunguza Isa 24:5
2
Isa 24:23
Ndipo mwezi utatahayari, na jua litaona haya; kwa kuwa BWANA wa majeshi atatawala katika mlima wa Sayuni, na katika Yerusalemu, na mbele ya wazee wake kwa utukufu.
Chunguza Isa 24:23
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video