1
Yer 13:23
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Je! Mkushi aweza kuibadili ngozi yake, au chui madoa-doa yake? Kama aweza, ndipo na ninyi mwaweza kutenda mema, ninyi mliozoea kutenda mabaya.
Linganisha
Chunguza Yer 13:23
2
Yer 13:16
Mtukuzeni BWANA, Mungu wenu, kabla hajaleta giza, na kabla miguu yenu haijakwaa juu ya milima yenye giza; na wakati mnapoitazamia nuru, kabla hajaigeuza kuwa kivuli cha mauti, na giza nene.
Chunguza Yer 13:16
3
Yer 13:10
Watu hawa waovu, wanaokataa kusikiliza maneno yangu, wanaokwenda kwa ushupavu wa mioyo yao, na kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiabudu, watakuwa hali moja na mshipi huu, usiofaa kwa lo lote.
Chunguza Yer 13:10
4
Yer 13:15
Sikilizeni ninyi, kategeni masikio yenu; msifanye kiburi; maana BWANA amenena.
Chunguza Yer 13:15
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video