1
Nah 1:7
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
BWANA ni mwema, ni ngome siku ya taabu; naye huwajua hao wamkimbiliao.
Linganisha
Chunguza Nah 1:7
2
Nah 1:3
BWANA si mwepesi wa hasira, ana uweza mwingi, wala hatamhesabia mtu mwovu kuwa hana hatia kamwe; BWANA ana njia yake katika kisulisuli na tufani, na mawingu ni mavumbi ya miguu yake.
Chunguza Nah 1:3
3
Nah 1:2
BWANA ni Mungu mwenye wivu, naye hujilipiza kisasi; BWANA hujilipiza kisasi, naye ni mwingi wa hasira; BWANA hujilipiza kisasi juu ya adui zake, huwawekea adui zake akiba ya hasira.
Chunguza Nah 1:2
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video