1
2 Mambo ya Nyakati 18:13
Swahili Revised Union Version
Mikaya akasema, Kama aishivyo BWANA, neno lile atakalolinena Mungu wangu, ndilo nitakalolinena.
Linganisha
Chunguza 2 Mambo ya Nyakati 18:13
2
2 Mambo ya Nyakati 18:22
Basi sasa, angalia, BWANA ametia pepo wa uongo vinywani mwa manabii wako hawa; naye BWANA amenena mabaya juu yako.
Chunguza 2 Mambo ya Nyakati 18:22
3
2 Mambo ya Nyakati 18:20
Akatoka pepo, akasimama mbele za BWANA, akasema, Mimi nitamdanganya. BWANA akamwambia, Jinsi gani?
Chunguza 2 Mambo ya Nyakati 18:20
4
2 Mambo ya Nyakati 18:19
BWANA akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu mfalme wa Israeli, ili akwee Ramoth-gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi.
Chunguza 2 Mambo ya Nyakati 18:19
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video