1
2 Wathesalonike 3:3
Swahili Revised Union Version
Lakini Bwana ni mwaminifu, atakayewafanya imara na kuwalinda kutoka kwa yule mwovu.
Linganisha
Chunguza 2 Wathesalonike 3:3
2
2 Wathesalonike 3:5
Bwana awaongoze mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na subira ya Kristo.
Chunguza 2 Wathesalonike 3:5
3
2 Wathesalonike 3:6
Ndugu, tunawaagiza katika jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu kutoka kwa kila ndugu aendaye bila utaratibu, wala si kwa kufuata mapokeo mliyoyapokea kwetu.
Chunguza 2 Wathesalonike 3:6
4
2 Wathesalonike 3:2
na tukaokolewe kutoka kwa watu wasio haki, na waovu, maana si wote walio na imani.
Chunguza 2 Wathesalonike 3:2
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video