1
Nehemia 4:14
Swahili Revised Union Version
Baada ya kuona haya nilisimama nikawaambia wakuu, maofisa, na watu wengine waliobaki, Msiwaogope; mkumbukeni Bwana, aliye mkuu mwenye kuogofya, mkawapiganie ndugu zenu, wana wenu, binti zenu, wake zenu, na nyumba zenu.
Linganisha
Chunguza Nehemia 4:14
2
Nehemia 4:6
Basi tukaujenga ukuta; nao ukuta wote ukaunganishwa kiasi cha nusu ya kimo chake; maana watu walikuwa na moyo wa kufanya kazi.
Chunguza Nehemia 4:6
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video