1
Zaburi 148:13
Swahili Revised Union Version
Na walisifu jina la BWANA, Maana jina lake peke yake limetukuka; Adhama yake i juu ya nchi na mbingu.
Linganisha
Chunguza Zaburi 148:13
2
Zaburi 148:5
Na vilisifu jina la BWANA, Kwa maana aliamuru, vikaumbwa.
Chunguza Zaburi 148:5
3
Zaburi 148:1
Haleluya. Msifuni BWANA kutoka mbinguni; Msifuni katika mahali palipo juu.
Chunguza Zaburi 148:1
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video