1
Matendo 12:5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Hivyo Petro aliwekwa gerezani lakini kanisa lilikuwa likiomba kwa Mungu bila kuacha kwa ajili yake.
Linganisha
Chunguza Matendo 12:5
2
Matendo 12:7
Ghafla malaika wa Bwana alikuwa amesimama pale, na chumba kilijaa mwanga. Malaika akamwamsha Petro kwa kumpiga upande, akasema, “Amka haraka!” Minyororo ikaanguka kutoka mikono mwa Petro.
Chunguza Matendo 12:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video