1
Hesabu 23:19
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Mungu si mtu, aseme uongo, wala si binadamu, abadili nia yake! Je, ataahidi kitu na asikifanye, au kusema kitu asikitimize?
Linganisha
Chunguza Hesabu 23:19
2
Hesabu 23:23
Hakika ulozi hauwezi kuwapinga watu wa Yakobo, wala uchawi dhidi ya watu wa Israeli. Sasa kuhusu Israeli, watu watasema, ‘Tazameni maajabu aliyotenda Mungu!’
Chunguza Hesabu 23:23
3
Hesabu 23:20
Tazama, nimepewa amri ya kubariki, naye amebariki wala siwezi kuitangua.
Chunguza Hesabu 23:20
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video