1
1 Mambo ya Nyakati 4:10
Biblia Habari Njema
Lakini Yabesi alimwomba Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, nakusihi unibariki na kuipanua mipaka yangu. Mkono wako uwe pamoja nami na unilinde kutokana na jambo lolote ovu, lisiniumize.” Naye Mungu akamjalia yale aliyoomba.
Linganisha
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 4:10
2
1 Mambo ya Nyakati 4:9
Kulikuwa na mtu mmoja jina lake Yabesi, aliyeheshimiwa kuliko ndugu zake wote. Mama yake alimpa jina la Yabesi kwa sababu alimzaa kwa maumivu.
Chunguza 1 Mambo ya Nyakati 4:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video