1
1 Samueli 4:18
Biblia Habari Njema
Huyo mtu alipotaja tu sanduku la Mungu, Eli alianguka chali kutoka kwenye kiti chake kando ya lango. Eli alipoanguka hivyo, shingo yake ilivunjika kwani alikuwa mzee na mnene, naye akafariki. Eli alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka arubaini.
Linganisha
Chunguza 1 Samueli 4:18
2
1 Samueli 4:21
Naye akamwita mtoto wake Ikabodi, akimaanisha, “Utukufu wa Mungu umeondoka Israeli,” akiwa na maana kwamba sanduku la agano lilikuwa limetekwa, tena baba mkwe wake na mumewe, wote walifariki.
Chunguza 1 Samueli 4:21
3
1 Samueli 4:22
Akasema, “Utukufu wa Mungu umeondoka Israeli kwani sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu limetekwa.”
Chunguza 1 Samueli 4:22
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video