1
Ezra 5:1
Biblia Habari Njema
Wakati huo, manabii wawili, Hagai na Zekaria, mwana wa Ido, waliwatolea unabii Wayahudi waliokuwa wanakaa Yuda na Yerusalemu, katika jina la Mungu wa Israeli.
Linganisha
Chunguza Ezra 5:1
2
Ezra 5:11
“Wao walitujibu hivi: ‘Sisi ni watumishi wa Mungu wa mbingu na dunia, na tunaijenga upya nyumba ambayo ilikuwa imejengwa na kumalizika hapo awali na mfalme mmoja mkuu wa Israeli.
Chunguza Ezra 5:11
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video