1
Yeremia 12:1
Biblia Habari Njema
Ee Mwenyezi-Mungu, wewe ni mwadilifu, ingawa nakulalamikia. Lakini ningependa kutoa hoja zangu mbele yako: Kwa nini waovu hufanikiwa katika mambo yao? Mbona wote wenye hila hustawi?
Linganisha
Chunguza Yeremia 12:1
2
Yeremia 12:2
Unawaotesha nao wanaota; wanakua na kuzaa matunda. Wanakutaja kwa maneno yao, lakini mioyo yao iko mbali nawe.
Chunguza Yeremia 12:2
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video