1
Zaburi 62:8
Biblia Habari Njema
Enyi watu, mtumainieni Mungu daima; mfungulieni Bwana yaliyo moyoni mwenu. Mungu ndiye kimbilio la usalama wetu.
Linganisha
Chunguza Zaburi 62:8
2
Zaburi 62:5
Namngojea Mungu peke yake kwa utulivu; kwake naliweka tumaini langu.
Chunguza Zaburi 62:5
3
Zaburi 62:6
Yeye peke yake ndiye mwamba na wokovu wangu, yeye ni ngome yangu, sitatikisika.
Chunguza Zaburi 62:6
4
Zaburi 62:1
Namngojea Mungu peke yake kwa utulivu, kwake watoka wokovu wangu.
Chunguza Zaburi 62:1
5
Zaburi 62:2
Chunguza Zaburi 62:2
6
Zaburi 62:7
Wokovu na fahari yangu vyatoka kwa Mungu; mwamba wangu mkuu na kimbilio langu ni Mungu.
Chunguza Zaburi 62:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video