1
Zekaria 13:9
Biblia Habari Njema
Theluthi hiyo moja itakayosalia, nitaijaribu na kuitakasa, kama mtu asafishavyo fedha, naam, kama ijaribiwavyo dhahabu. Hapo wao wataniomba mimi, nami nitawajibu. Nitasema, ‘Hawa ni watu wangu’, nao watasema, ‘Mwenyezi-Mungu, ndiye Mungu wetu.’”
Linganisha
Chunguza Zekaria 13:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video